KARIBU KANANURA SCHOOLS

NAFASI ZA MASOMO MWAKA 2022

CHEKECHEA | MSINGI | SEKONDARI

Shule za Kananura Zilizopo Kivule, Jijini Dar es Salaam zinakutangazia nafasi za masomo kwa mwaka 2022 kwa ngazi ya Chekechea, Msingi na Sekondari.

Shule ni za Kutwa na Bweni na Tunapokea Wanafunzi wa Jinsi zote na Wa imani zote kutoka mikoa yote ya Tanzania.

Shule ina mazingira mazuri  na Tulivu ya Mwanafunzi Kujifunza Na Walimu Mahiri wenye  umahiri na uzoefu wa kufundisha.

Shule imefanya vizuri kitaaluma kwa mitihani ya Darasa la Nne na Darasa la Saba kwa miaka miwili mfululizo.

KWA NINI KIJANA WAKO ASOME KANANURA SCHOOLS?

MCHANGANUO WA ADA KWA SHULE YA CHEKECHEA NA MSINGI

ppprimary fees

MCHANGANUO WA ADA KWA SHULE YA SEKONDARI

ADA SEC 1
ADA SEC 2

JAZA FOMU HII KUJIUNGA

Hakiki Taarifa Ulizojaza Kabla ya Kutuma Fomu.
  • Pia Unaweza Kuwasiliana Nasi kwa Simu Namba 0754815884.
  • Muda wa Kupiga simu Kwa siku za Jumatatu hadi Ijumaa ni Saa mbili Kamili Asubuhi ( 2:00) hadi saa Kumi Jioni (10:00)
  • Muda wa Kupiga simu Kwa siku ya Jumamosi ni Saa Mbili Asubuhi (2:00)  hadi saa Nane Mchana (8:00)

Kananura Schools © 2021 All Rights Reserved.